Wednesday, May 23, 2012

NEW PAGE OPENED

Assalam alaykum warahmatul lahi wabarakatu. Amma baada ya kumshukuru Mwenyezimungu na kumtakia Rehma na Amani Mtume wake napenda kuchukua nafasi hii kwa kuwaarifu kuwa kuna page mpya nimeifungua baada ya kusikiliza ushauri wa wadau mbalimbali juu ya uwekaji wa vitabu vya dini na kisekyula katika blog yetu. Jina la hiyo page imeandikwa BOOKSTORE iko shortcut yake upande wa kulia mwa Blog yetu na pia kwa mafunzo ya swala bonyeza kitufe kilichoandikwa HOW TO PRAY, na pia kwa masuala ya kusoma kwa wasomi kuna kitufe na picha isomekayo STUDY GUIDE AND STRATERGY kuna nakala mbalimbali ndani yake namna bora ya kusoma na kufanikiwa vizuri katika masomo yetu pia. Tunajitahidi kuweka vitu ambavyo vinahitajika kwa wakati uliopo na kama unaushauri wowote juu ya uboreshaji wa Blog yetu tunaomba mchango wako wa mawazo tuu kwa sasa na sio gharama yoyote.Kama ni mwalimu tunapokea vitabu au Notsi zozote za kufundishia katika softcopy ili wadau wengine wa mashuleni wafaidike nazo pia na kama wewe ni blogger mzuri zaidi basi pia tupe ushauri wako kuboresha blog yetu kwa ujumla. Tunapokea ushauri kwa njia ya email yetu assmohamm@gmail.com au kwa jnia ya kucomment katika habari yoyote nasi tutaiona pia. Maas salam

No comments:

Post a Comment

TUPE MAWAZO YAKO