Jahazi la SUNRISE lililobeba abiria wapatao 35 limezama Nungwi Visiwani Zanzibar. Watu wapatao 20 wameokolewa na wengine wapatao 15 hawajulikani walipo. Jahazi hilo lilitokea kutokea Tanga, na lilikuwa ni la mizigo
Chanzo ITV breaking news, saa 3:37 jioni, leo tar.31/01/2013
 sOURCE: http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/393678-jahazi-lazama-nungwi-zanzibar-leo.html

No comments:
Post a Comment
TUPE MAWAZO YAKO