Tuesday, January 08, 2013

BAN KI-MOON ASEMA ASSAD HAIWEZI SYRIA


Katibu  mkuu  wa  umoja  wa  mataifa  Ban Ki-moon ameeleza  kukatishwa  kwake  tamaa  jana  na hatua ya rais   wa  Syria  Bashar al-Assad  ya kukataa  kuwa  na mazungumzo  ya  amani  na  waasi  katika  hotuba  yake aliyoitoa   mwishoni  mwa  juma kwa  kuwataja  waasi wanaopambana  na  utawala  wake  kuwa  wametangaza vita. Ban amekatishwa  tamaa  kwa  kuwa  hotuba  ya  rais Bashar al-Assad  haichangii  katika  kuleta  suluhisho ambalo  litamaliza  mateso  makubwa  wanayopata  watu wa  Syria .
Msemaji  wa  umoja  wa  mataifa Martin Nesirky  amesema kuwa  hotuba  hiyo  imekataa  kipengee muhimu  cha makubaliano  ya  Geneva  yaliyofikiwa  tarehe  30  Juni 2012, ikiwa  ni  kipindi  cha  mpito cha  kisiasa  na kuundwa  kwa  chombo  kitakachoongoza  serikali  ya mpito kikiwa  na  madaraka  kamili  ambayo  yatajumuisha wawakilishi  wote  wa  Syria.

1 comment:

  1. Being aware of that it is not commission based, the
    product sales staff in no way pressured you into generating a decision suitable away.
    When time for payday loan on benefits
    closing came, they have been really prompt
    and every little thing was explained to me. They even enlightened
    me about payday loans. There was never a time where they left you hanging.

    I definitely such as the fact that any signature pages have been
    able to upload on 1 hour pay day website as opposed to faxing over.
    I spoke with other providers to have a refinance, but
    none could match what Themoneystore made available.

    ReplyDelete

TUPE MAWAZO YAKO