Thursday, May 30, 2013

MECHI KATI YA WANAFUNZI WA MUHIMBILI NA CHUO CHA DIT.


Jumuiya ya wanafunzi wa kiislam wa Muhimbili inawaalika waislam na wanafunzi wengine wa Muhimbili kuhudhuria Mpambano Mkali wa kabumbu katika wanafunzi wa Muhimbili na kutoka chuo cha DIT.  Eneo ni uwanja wa Muhimbili nyuma ya Jengo la Mwaisela, au moja kwa moja ukiingilia geti la Chuo.

Kiingilio ni macho yako kwani ni mechi ya kuimarisha Udugu na timu ya Muhimbili imedhamiria kurudisha heshima ya kufungwa mara mbili na DIT katika mechi ya kwanza iliyofanyika Muhimbili na ya Marudiano ambayo ilifanyika huko DIT.

Wote Munaalikwa kuja kufurahi na kupunguza Mawazo.

No comments:

Post a Comment

TUPE MAWAZO YAKO