Thursday, May 30, 2013

BREAKING NEWS: MATOKEO MAPYA KIDATO CHA NNE 2012 YATANGAZWA.

Baraza la mitihani nchini Tanzania NECTA baada ya kurudia tena kusahihisha mitihani ya watahiniwa waliohitimu mwaka 2012 sasa yatangaza rasmi matokeo hayo. Baada ya wanafunzi wengi kufeli kwa alama mbaya walizozipata katika mitihani hiyo baraza liliamua kurudia kusahihisha kwani vigezo walivyotumia mwanzo vilikuwa ni vipya ambavyo havikuwa vikitumika huko mwanzo hivyo kufanya wanafunzi wengi kufeli. KW Kwa kuweza kutazama matokeo hayo Bofya hapa..........

No comments:

Post a Comment

TUPE MAWAZO YAKO