Thursday, May 30, 2013

NAFASI MPYA ZA KAZI HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI

Hospitali ya taifa Muhimbili (MNH) imetangaza nafasi za kazi kwa wauguzi mbalimbali hapa nchini. Taarifa ya kazi hizo ilitangazwa juzi tarehe 27 JUNE 2013 na mkurugenzi mtendaji wa Hospitali hiyo Dr. Marina Njelekela. Zaidi ya nafasi 450 zimetangazwa. Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 21 JUNE 2013, hivyo yawapasa kuchangamkia nafasi hizo. Kwa maelezo zaidi ya kila kitengo na idadi ya wanaohitajika katika vitengo mbalimbali tafadhali  Bofya hapa.........

No comments:

Post a Comment

TUPE MAWAZO YAKO